
waliongeza kwa kusema richa ya changamoto nyingi zinazowakabiri kimziki likini wamejipanga kuutangaza mziki wao kimataifa...Am on ma way ndo ngoma yao ambayo naileta kwako kama jiwe la leo na kesho pia
tuungane kwa pamoja kuufikisha mziki wetu kwenye anga za kimataifa kwa support kazi za nyumbani..lets join together to promote our music through defferent platform in the world pia unaweza kuungana nasi kwa kulike Dream malaika on facebook