mtanzania anaelink ngoma zake kimataifa Amazing ambae pia anafanya poa kupitia platforms tofauti ikiwemo Eastafricantunes na ngoma kama am falling ametangaza kutarget mziki wa nyumbani na kupeperusha bendela ya Tanzania yenye rangi nne. zaid Amazing ameizungumzia track yake ya Am looking ambayo ameitambulisha kwenye media za ndani na kuanza kufanya poa lakini pia kupitia Bongovibess unaweza kuidownloads na kuisikiliza hapa
No comments:
Post a Comment