Saturday, 22 June 2013

BOB JUNIOUR YAMKUTA MAKUBWA

















The sharobaro pressdent bob juniour making his supa bland video ya wimbo uitwao Narudi kwetu kimbiji katika ya jiji maeneo ya kariakoo sokoni ambapo kuna kundi kubwa la watu kama inavyofahamika..mkali bob juniour he is alwayz kickin na stahiri yako ya uchezaji kwenye video
bongovibess inamtakia kila la kheri

Thursday, 20 June 2013

VIDEO QUEEN WA JAMBOJAMBO YA STEVE R&B ASAMBAZA PICHA CHAFU MTANAONI

Kama mpenzi wa mziki wa nyumbani bila shaka sura ya huyu binti si ngeni kwako ni mrembo alieshiriki kama video queen wa steve r&b jambojambo

HII NDIO STUDIO INAYOMILIKIWA NA KAMPUNI INAYOPROMOTE FURAHA YA LEO BY DREAM

Hii Ndio studiO ILIYOCHINI YA qtro ENTERTAINMENT huko nairobo nchini Kenya kampuni ambayo inapromote wimbo wa Dream furaha ya leo kupitia kwenye platform zao ikiwemo..www.djxploid.com, unaweza pia kuwasiliano kwa mahitaji yako ya Dj Drops/VoiceOvers,Dj Intros,Radio VoiceOvers,Dance Intros,Video/Audio Production,Marketing + More
wasiliana nao kupitia..drops@djexploid.com | Or call our Studio Line: 0202122803 |0712026479 (From 8:00am - 6:00pm) au Dream malaika akuunganishe nao kama upo tz

  

Tuesday, 18 June 2013

MISS YUNER FT DREAM- HOI



 
 Speaking of good music she,z real talented anakwenda kwa jina la Yuner baada ya kazi yake aliyofanya na Ben poul leo ameintroduce tracj yake mpya iliyofanywa kwenye studio za Natal records chini ya Producer Abbah process akiongea na Bongovibess Yuna anatoa track yake kwako kama zawadi ya milele coz dc song gonna kick ur Earz forever and for alwyz stay tune unaweza kuisikiliza na kuidownloads hapa
 

Monday, 17 June 2013

BEN POUL AMEIBA WIMBO HUU

Richa ya umahili na uwezo mkubwa alionao mkali Ben poul katika anga la R&B tanzania lakini Bongovibes imebaini wimbo wake mpya wa jikubali ni idea ya wimbo uitwao THE HALL OF FAME kitu ambacho kinaweza kuwa kikwazo kuifikisha ngoma hiyo kwenye anga za kimataifa richa ya kuwa na video kaali ya viwango vya kimataifa..tujipange saana kwa sababu mziki wetu unakwenda mbali na wasanii wetu wanauwezo mkubwa saana so watumie vipaji ipasavyo..unaweza kuusikiliza huo wimbo wa hall of fame na kudownloads hapa

Sunday, 16 June 2013

SUPA BLAND SONG ISKILIZE NA KUDOWNLOAD HAPA

Speaking of Dream baada ya kimya cha muda mrefu now the Legend is back with his song so sweet akiwa amempa collabo syllabas kazi imeaandaliwa na producer MgT kutoka Malaika Art Work and entertainment iwe kama zawadi kwenu..enjoy it

Monday, 10 June 2013

TOZI WA MBAGALA AFUNGUKA KUHUSU DULLY SYKES

Msanii wa nguli wa tasnia ya komedi na mziki nchini Tanzania maarufu kama tozi wa mbagala
amemueleza dully kama msanii mwenye mchango mkubwa kwake kupitia ngoma yake ya
wanangojea ambayo imeeandaliwa na producer Abbah process kutoka Natal records.
akiongea na bongovibes tozi wa mbagala ametoa shukrani zake za dhati kwa media zote hapa nchini zinazosapoti ngoma yake hiyo na kumfanya kuanza kuyaona matunda ya mziki
kwa kupata mashavu ya kutosha, kwa sasa yupo mzigoni anaandaa ngoma yake mpya ambayo anampango wa kufanya na rich mavoco kama ratiba zitakwenda sawa au Dream the voice of Malaika...ngoma inapatikana hapa waweza sikiliza au kudownloads