tuungane kwa pamoja kuufikisha mziki wetu kwenye anga za kimataifa kwa support kazi za nyumbani..lets join together to promote our music through defferent platform in the world pia unaweza kuungana nasi kwa kulike Dream malaika on facebook
Saturday, 30 March 2013
Uaandaji wa video ya Only me kutoka kwa 2face
hizi ndo picha tatu za uaandaji wa video ya 2face idebia anayokwenda kwa jina la Only me chini ya kampuni ya Capital dreams ambayo pia imefanya kazi kubwa zikiwemo yes/no ya Banky-w ambayo hutumia ubunifu wa hali ya juu kuandaa video katika mazingira ya kawaida na kuzifanya ziwe hot duniani WaTanzania tunamengi ya kujifunza kupitia kwao
Friday, 15 March 2013
diamond tena
mtu mzima diamond amestate nia yake ya kumzawadia mwanadada Penny ndinga inayotarajia kugharim million kumi na tano za kitanzania lakini pia diamond amethibitisha rasmi juu ya ujauzito wa penny kuwa ni wake na anatarajia kufunga nae ndoa richa ya kuwa hajafunguka ni lini?..plutnum ambae amekuwa akifanya poa katika nyanja tofauti ikiwemo za ringback caller tune
Saturday, 9 March 2013
neeeeeeeeeew
check dc out kupitia soundcloud da how marvellous..http://soundcloud.comhttps://soundcloud.com/dreammalaika-1
Tuesday, 5 March 2013
Amini mwinyimkuu kutoka THT aingizwa kwenye skendo ya kuwa na mahusiano na Synage baada ya wawili hawa kuonekana kwenye pozi la pamoja kwenye moja kati ya show za bend ya Extra bongo hata hivyo Synage amekanusha kuwa na mahusiano na amini and dats what we believe so wadaku acheni kuzusha
isikilize ngoma mpya hii hapa..http://www.hulkshare.com/dreammalaika
kama ulikuwa ujawahi kufikilia basi nakuletea hii Dula wa pb ameweza kusimamia colabo ya Ney wa mitego na Diamond plutnum katika studio za empty soulz chini ya producer Mr. T touche's aliewahi kuwa katika studio za shyn records kinondoni katika ngoma hiyo ya Ney inahususisha majibishano kati yake na Diamond kati ya waimbaji na wanaorap kina nani wanazingua ni bonge la ngoma as we hope acha tusubiri tuone itakuwa vipi? kitu kama hiki kilwahikufanyika na madee ft Godzilla lakini kwa idea tofauti ya wakongwe na wasasa pia ilifanya poa so big up mtu mzima Ney&Diamond
isikilize furaha ya leo hapa..http://www.hulkshare.com/dreammalaika
isikilize furaha ya leo hapa..http://www.hulkshare.com/dreammalaika
Rich mavoco@Natal records
hongera rich mavoko kwa kazi bomba unazogonga kila siku..kupitia mkali wa Vibes leo tunakutangaza kuwa ni Super bland artist wetu tunaamini wasanii wengine wanamengi ya kujifunza kutoka kwako ili kufikia ndoto zao ..chanzo cha habari na picha ni Ezekiel kushoto mwa mtoto wa mama richard
isikilize furaha ya leo hapa..http://www.hulkshare.com/dreammalaika
isikilize furaha ya leo hapa..http://www.hulkshare.com/dreammalaika
Monday, 4 March 2013
Subscribe to:
Posts (Atom)