tuungane kwa pamoja kuufikisha mziki wetu kwenye anga za kimataifa kwa support kazi za nyumbani..lets join together to promote our music through defferent platform in the world pia unaweza kuungana nasi kwa kulike Dream malaika on facebook
Sunday, 13 October 2013
SIRI YA DIAMOND JUU YA HII DIS
Richa ya kuzungumzwa vibaya na wasanii chipukizi ambao wanahisi kumfaham Diamond kiundani. walipita wasanii wengi hapa nchini waliowahi kufanya vizuri kwenye tasnia ya mziki hususa ni wa bongofleva lakini mpaka sasa msanii anaetajwa sana kwa njia zisizokuwa nzuri na wasanii wenzake hususa chipukizi ni Diamond je unadhani wanatafuta kick au kuna siri gani hapa?...chukua tym yako kuisikiliza hii clip..
Subscribe to:
Posts (Atom)