Sunday, 13 October 2013

SUMA BODA LIMBUKENI

SIRI YA DIAMOND JUU YA HII DIS

Richa ya kuzungumzwa vibaya na wasanii chipukizi ambao wanahisi kumfaham Diamond kiundani. walipita wasanii wengi hapa nchini waliowahi kufanya vizuri kwenye tasnia ya mziki hususa ni wa bongofleva lakini mpaka sasa msanii anaetajwa sana kwa njia zisizokuwa nzuri na wasanii wenzake hususa chipukizi ni Diamond je unadhani wanatafuta kick au kuna siri gani hapa?...chukua tym yako kuisikiliza hii clip..