Friday, 16 August 2013

KABULA NI ZAIDI YA UCHAFU WA SODOMA NA GOMOLA





richa ya kuelezwa saana kuwa umaarufu ni mapito sidhani kama mabinti hawa wa Bongomovie ili swala wanalielewa.maisha ya magharibi yamewatawala na kuwafanya wahisi wapo sahihi kutokea kwenye vyombo vya habari kwa skendo chafu..ukitazama kwa kina hata mapato yao hayakidhi mahitaji sasa sijui nini kinamtuma mtu kama Kabula kujilaanisha hivi