naipenda bongo fleva
tuungane kwa pamoja kuufikisha mziki wetu kwenye anga za kimataifa kwa support kazi za nyumbani..lets join together to promote our music through defferent platform in the world pia unaweza kuungana nasi kwa kulike Dream malaika on facebook
Sunday, 13 October 2013
SIRI YA DIAMOND JUU YA HII DIS
Richa ya kuzungumzwa vibaya na wasanii chipukizi ambao wanahisi kumfaham Diamond kiundani. walipita wasanii wengi hapa nchini waliowahi kufanya vizuri kwenye tasnia ya mziki hususa ni wa bongofleva lakini mpaka sasa msanii anaetajwa sana kwa njia zisizokuwa nzuri na wasanii wenzake hususa chipukizi ni Diamond je unadhani wanatafuta kick au kuna siri gani hapa?...chukua tym yako kuisikiliza hii clip..
Friday, 13 September 2013
Supa bland track_Byter Ft Ephryz coolio
ts been a long time toka alipoachia track yake ya on ma way the man h z back agn wd hz new
song Am coolio katika anga za kimataifa, ni track yenye ujazo wa Bar2Bar za kufa mtu
Saturday, 7 September 2013
Friday, 16 August 2013
KABULA NI ZAIDI YA UCHAFU WA SODOMA NA GOMOLA
richa ya kuelezwa saana kuwa umaarufu ni mapito sidhani kama mabinti hawa wa Bongomovie ili swala wanalielewa.maisha ya magharibi yamewatawala na kuwafanya wahisi wapo sahihi kutokea kwenye vyombo vya habari kwa skendo chafu..ukitazama kwa kina hata mapato yao hayakidhi mahitaji sasa sijui nini kinamtuma mtu kama Kabula kujilaanisha hivi
Tuesday, 30 July 2013
MWISHO AIFUNGUKIA CLOUDS FM
aliewahi kuwa mshiriki wa shindano la Bigg brother Mwisho Mwampamba ameyatoa ya moyoni mwake kuhusu Clouds FM kupitia account yake ya Facebok
Sunday, 28 July 2013
DID YOU MISS SOME ONE YOU LOVE? BASI MWAMBIE HAYA MANENO
Ni wimbo wa kiswahili wenye muunganiko wa Afropop,R&B na Zouk uliobeba ujumbe wa kimapenzi katika kipindi ambacho unakuwa kwenye mahusiano lakini mpenzi wako kama haitambui thamani yake kwako take your time kuusikiliza hapa
Subscribe to:
Posts (Atom)